Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi Karim Mattaka (katikati) akiwaongoza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo linalounganisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam na Kigamboni jana. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Dk Norman Sigala. (Picha na Fadhili Akida).
This is dummy text. It is not meant to be read. Accordingly, it is difficult to figure out when to end it. But then, this is dummy text. It is not meant to be read. Period.
Related Post
FAHAMU KUHUSU MALARIA
HUJAMBO
MSOMAJI WA MAKALA YA AFYA YAKO AMBOKO UNAWEZA KUJUA MAMBO MBALIMBALI YAHUSUYO
AFYA NA
ConversionConversion EmoticonEmoticon