Msanii huyo ambaye alikuwa akifanya vizuri na mwenzie Weasel, tangu January 23 mwaka huu hali yake ilikuwa ikiripotiwa kuwa mbaya kufu...
Read More
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
Dimpoz atoa piicha ya mama Dimond kwenye ukurasa wake wa instagram
ugust 24, 2017 gumzo kwenye mitandao ya kijamii ni ishu ya Ommy Dimpoz kuamua kuifuta post yake aliyoiweka kwenye Instagram ikiambatana...
Read More
Vanessa Mdee Afungukia Bata Walizokula Singita Hoteli
Wanamuziki, Vanessa Mdee na mpenzi wake Juma Jux ‘Jux’ baada ya manenomaneno kuzagaa kuwa wameachana juzikati wapenzi hao w...
Read More
Diamond Aitolea Ufafanuzi Picha ya Hamisa Aliyopiga Kwenye Chumba Alicholala na Zari
Baada ya ukaribu wa hivi karibuni wa mwanamitindo Hamisa Mobetto na familia ya Diamond kumekuwepo na sintofahamu kubwa. Hiv...
Read More
Nchi Nyingine ya Afrika Yazima Mitandao ya Kijamiii ya What's app na Facebook..Kisa Inasababisha Wanafunzi Wasisome
Mitandao ya kijamii nchini Ethiopia imezimwa. Waethiopia waliamka Wikiendi wakajipata hawana huduma hizo za mitandao kama Face...
Read More
Zari na Ndugu wa Ukweni Kwake Haziivi, Ujumbe Huu wa Snapchat Una Majibu yote
Diamond Platnumz na Zari the Bosslady wapo kwenye mtihani mgumu unaozikumba familia nyingi za Kiafrika – maelewano hafifu n...
Read More
Baby Madaha akanusha kufunga ndoa, alivishwa pete ya uchumba
Msanii wa filamu na muziki, Baby Madaha amekanusha taarifa ambazo zilizagaa katika mitandao ya kijamii kuwa amefunga ndoa na...
Read More
Video: Diamond Aweka Sanamu za Mafuvu ya Watu Ofisini Kwake, Je ni Ishara ya ‘Kifreemasons’ ?
Ni kweli Freemasonry kama ilivyo maana yake kwanza ilkuwa ni kundi la mafundi waashi (masons) au wajenzi kuwa lugha nyingine....
Read More
Diamond Platnumz Katoa Sababu ya Kuwa na Picha ya AliKiba Kwenye Ofisi za WCB.
Akiongea na Clouds FM kupitia Perfect Crispin alitoa kauli hii…. Diamond alisema: “Unajua ofisi ya WCB sio ya Diamond Platnumz...
Read More
Mashabiki wa Wema Sepetu waushangilia uamuzi huu wa Diamond
Hakuna kitu ambacho mashabiki wa Wema Sepetu wanakipenda kama kuona kuwa kuna amani kati yake na Diamond. Pamoja na kuwepo ...
Read More
CIA Walimuua Mwanamuziki Bob Marley?
Kwa muda wa miaka kama 20 hivi nimekua mshabiki na mfuatiliaji sana wa muziki wa reggae na waimbaji wake. Nimesoma taarifa mbalimba...
Read More
Peter Msechu Akiri Mwili Wake Umemshinda...Anatafuta Wakumpa Stress
Msanii Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa yeye mwili wake umemshinda sasa maana amejaribu kila mbinu kupunguza lakini wapi upo...
Read More
Picha: Utaupenda Muonekano Mpya wa Chidi Benz, Mashabiki Wampongeza Babu Tale
Rapper Chidi Benz amefanikiwa kuirudisha afya yake baada ya kuachana na matumizi ya Madawa ya kulevya. Mapema mwaka huu katika k...
Read More
Mashabiki ‘Wamteka’ Mwamuzi Mechi ikiendelea
MASHABIKI wa timu ya Friends Rangers, jana Jumanne uvumilivu uliwashinda baada ya kuchukua maamuzi magumu ya ‘kumteka’ mwamuzi wa pembeni ...
Read More
Wastara Ana Mimba ya Mbunge Aliyekuwa Mume Wake?
Mashabiki katika mitandao ya kijamii wanamshinikiza staa wa filamu, Wastara Juma kuwapa ukweli kama ana mimba ya Mbunge wa Jimbo la...
Read More
Idris Asema Wema Kutumia Tsh Milioni 4.8 kwa Ajili ya Nywele kwa Mwezi ni Hadhi yake
Baada ya mashabiki na wadau mbalimbali kujadili kauli ya Wema Sepetu ya kwamba anatumia Tsh 4.8 kwa ajili ya nywele zake kwa mwezi ...
Read More
Subscribe to:
Posts (Atom)