CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHAKIWEANDAA
MASHINDANO YA UTANGAZAJI YANAYOENDELEA CHUONI HAPO IKIWA LEO NI SIKU YA TATU NA
YATAITIMISHWA SIKU YA IJUMAA.
CHUO ICHO CHA HABARI AMBACHO KINASHIKA NAFASI YA PILI KWA
MAFUNZO BORA YA UTANGAZAJI NA UANDISHI WA HABARI HAPA TANZANIA, KIMEANDAA MASHINDANO HAYO ILI KUWANOA
WANAFUNZI WAKE KATIKA SEKTA YA UTANGAZAJI NA UANDISHI WA HABARI PAMOJA NA
UANDAAJI WA VIPINDI VYA REDIO
HATA IVYO BWANA ALIFURAHA SAMBOTO AMBAYE NI MAKAMU WA CHUO
HICHO AMESEMA KUWA LENGO LA MASHINDANO HAYO SI TU KWA AJILI YA PESA NA ZAWADI
ZILIZO TAJWA BALI NIKWAAJILI YA WANAFUNZI WA CHUO HICHO KUONESHA UMAHIRI WAO NA
VIPAJI VYAO VYA UTANGAZAJI NA UANDAAJI WA VIPINDI VYA REDIO
IKUMBUKWE KUAWA CHUO HICHO SIO MARA YA KWANZA KUANDAA
MASHINDANO HAYO YAKIWA HAYO NI MASHINDANO YA TISA NA WASHIDI WA TATU WATAPEWA
ZAWADI AMBAPO MSHINDI WA KWANZA ATAPEWA PESA TASLIMU TSH 150,000 NA
KOMBE,MSHINDI WA PILI ATAPEWA TSH 100,000 NA MSZHINDI WA TATU ATAPATA TSH 75000
NA ZAWADI NYINGINEZO.
ConversionConversion EmoticonEmoticon