Maalim Seif afunguka kuhusu Lipumba, amesema alijiuzulu mwenyewe hakulazimishwa



Katibu mkuu wa CUF Maalim Seif amejitokeza na kuongelea hatua ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Prof. LIpumba ya kuomba kurudia nafasi ya Uenyekiti.

Amesema kwamba maamuzi ya CUF hufanywa kwenye vikao, tayari kuna kamati ya muda iliyoundwa na Baraza Kuu na hakuwezi kuwa na uongozi juu ya uongozi.

Amesema kuwa Lipumba alijiuzulu mwenyewe, bila kulazimishwa, alibembelezwa hadi na viongozi wa dini na akakataa na kuondoka.
Previous
Next Post »