Beki wa zamani wa Man United, Rio Ferdinand ameamua kuwa mwanamasumbwi.
Ferdinand ambaye ni raia wa England mwenye asili ya Jamaica ameamua kujifua hadi atakapofikia vigezo vya kuwa mwanamasumbwi wa kulipwa.
Beki huyo ameanza mazoezi lakini lengo lake ni kuishawishi bodi ya ngumi za kulipwa kumpa kibali.

About Admin MC3
This is dummy text. It is not meant to be read. Accordingly, it is difficult to figure out when to end it. But then, this is dummy text. It is not meant to be read. Period.
Related Post
Epl kuendelea wikiendi hii Leicester watakuwa nyumbani dhidi ya West Ham Ligi kuu ya England inatarajiwa kuendelea tena wi
Viongozi wa Juu wa TFF Kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CAF Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limetoa taarifa leo kuwa viongozi wake watatu wa juu wat
Mechi za mchujo wa ligi ya mabingwa barani Afrika na ile ya Mashirikisho zitajumuisha timu 16 ku
Yanga Azam viwanjani Kombe la Shirikisho Michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania inaendelea leo kwa michezo miwili
ConversionConversion EmoticonEmoticon