Maandamano yashuhudiwa Kenya

Waandamanaji wa upinzani nchini Kenya wamefunga barabara kwa kuchoma magurudumu katika mji wa Kisumu ulio magharibi mwa nchi hiyo.
Waandamanaji hao wanataka tume ya uchaguzi nchini Kenya kufanyiwa mabadiliko.
Ghasia hizo zinashuhudiwa licha ya mkuu wa polisi katika mji wa Kisumu kuwaonya watu na kuwataka wazishiriki maandamano hayo.
Ripoti ambazo hazijathibtishwa zinasema kuwa mtu mmoja ameuawa wakati wa maandamano ya mji wa Kisumu.
Previous
Next Post »